top of page
KARIBUNI KWA
MASOMO BUNIFU YA BIBLIA
UWAFUNDISHE KWA BIDII!
Nawe mpende BWANA, Mungu wako, kwa moyo wako wote, na zako zote.
Na maneno haya ninayokuamuru leo, yatakuwa katika moyo wako;
nawe uwafundishe watoto wako kwa bidii.
(Kumbukumbu la Torati 6, 5-7)
Je! Unatafuta vitabu vipya kwa ajili ya kuwafundisha watoto Habari ya Biblia katika shule ya Jumapili, vipindi vya dini mashuleni, Kid’s Club n.k.
Watoto Wadogo
wa umri 4-6
Masomo kwa muda wa miaka 2
Watoto wa kati
wa umri 7-9
Masomo kwa muda
wa miaka 3
Watoto wakubwa
wa umri 10-12
Masomo kwa muda
wa miaka 3
bottom of page